Wednesday, 28 November 2018

CAF Champions League


Club ya Simba SC leo saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki
watacheza mchezo wao wa kwanza wa michuano ya CAF Champions League
dhidi ya Mbabane  Swallows ya Swaziland,
mechi hiyo itachezwa uwanja wa Taifa Dar es Salaam.




No comments:

Post a Comment

Tex post